Monday, April 30, 2012

SIMBA HOYEEEEEEEE!!!!!!

Simba sport club wawakilishi pekeee wa michuano ya kimataifa jana wamefanikiwa kuifunga Alh Shand mabao 3-0. mabao hayo yamefungw na Haruna Moshi Boban, Mafisango na Emmanuel Okwi. Kikosi kilichoanza jana ni Juma Kaseja, Amiri Maftar, Kapombe, Cholo, Yondani, Mafisango, Kazimoto, Uhuru Sulemani, Okwi, Boban na Sunzu.