Monday, April 30, 2012

SIMBA HOYEEEEEEEE!!!!!!

Simba sport club wawakilishi pekeee wa michuano ya kimataifa jana wamefanikiwa kuifunga Alh Shand mabao 3-0. mabao hayo yamefungw na Haruna Moshi Boban, Mafisango na Emmanuel Okwi. Kikosi kilichoanza jana ni Juma Kaseja, Amiri Maftar, Kapombe, Cholo, Yondani, Mafisango, Kazimoto, Uhuru Sulemani, Okwi, Boban na Sunzu.

No comments:

Post a Comment